Jul 10, 2011

SIMBA NA YANGA NANI MBABE LEO

MTANANGE WA SIMBA NA YANGA NDIO LEO, HAKIKA ASILIMIA KUBWA YA MASHABIKI WALIKUA WANAJUA HIVYO KWA HAWA JAMAA LAZIMA WATAKUTANA FAINALI.

KUNA SABABU NYINGI AMBAZO WATU WALIKUWA WAKIZISEMA KUA HAWA JAMAA LAZIMA WAKUTANE KAMA WEWE NI MDAU WA SOKA HAUTO NIULIOZA NI ZIPI.

MOJA NI KWAMBA WAKO HOME

LAKINI PILI WATU WANAITILISHA WANAWATILISHA SHAKA KWA LENGO LA KUTAK A KUJIPAJIPATIA KIPATO KINGI ZAIDI JAPO WAO WATABISHA.

LAKINI TATU KWAMBA HAO NDIO WANAOONGOZA KWA MASHABIKI NCHINI HIVYO LAITI KAMA WANGELITOKA MAPEMA HAKIKA MASHINDANO YASINGELINOGA.

KAZI NI LEO UNADHANI NA ANAOBUKA MSHINDI STAY TUNE

No comments:

Post a Comment