Aug 21, 2013

HII ILIKUWA NI SIKU YA MAFUNZO KWA WANAHABARI MKOANI RUVUMA


Shukrana Masinga wa redio Jogoo fm akielekezana jambo na mwenzake





Enes mwaisakila akifuatilia mafunzo kwa umakini wa hali ya juu

HABARI TOKA RUVUMA SONGEA




Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Songea wamewataka viongozi ambao wanachaguliwa na wananchi kufanyakazi kwa uhadilifu na sio kwenda kinyume na ahadi ambazo wanazitoa wakati wa kampeni zao.

wameeleza kuwa lengo la wananchi kuwachagua viongiozi ni kuhitaji kuwawakilishia kero zao serikalini na kuweza kupatiwa ufumbuzi wake.

Kwa upande wa viongozi wa vyama vya siasa Mkoa wa Ruvuma wao wamewaomba viongozi ambao wanaenda kinyume na kazi walizotumwa na wananchi kujiudhuru ili kuwapisha viongozi ambao watawatekelezea wananchi mahitaji yao.

hivi jana Rais wa Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein amefanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na kupangua idara zilizokuwa zikisimamiwa na wizara mbalimbali na kuunda wizara mpya nne visiwani humo.

Xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

Wanachi wa kijiji cha njala matata kilichopo kata ya mkongo wilaya ya namtumbo wamesema tatizo la ukosefu wa maji safi na salama katika kijiji hicho linawathiri kwa kiasi kikubwa wanawake ambao wamekuwa wakisafiri umbali mrefu kutafuta maji .

wamesema kijiji hicho kina vyanzo vingi vya maji lakini vimekuwa vikipekwa maeneo mengine tofauti na maeneo wanayoishi na kuitska serikali kuangali jambo hilo kwa kina kutokana na adha kubwa wanayoipata ya ukosefu maji safi na salama.

wasemema kuwa kutokana na ukosefu huo wa maji kijijni hapo unaweza kusababisha magonjwa ya milipuko na matumbo ya kuhara.



Aug 19, 2013

WAKALI WA SAYARI YETU NA AFRIKA YETU 93.0



Mfaume Pastory na Catherine Shayo ni watangazaji wa kipindi cha AFRIKA YETU ndani ya 93.0 ya Jogoo FM Songea kwani sisi ni wa AFRIKA halisi karibu sana kuisikiliza show yetu kila siku za Juma Pili saa nane kamili mmchana hadi saa kumi kamili jioni.

Lakini ni watangazaji wa kipindi mahiri cha SAYARI YETU cha Jogoo FM ambacho hurushwa kila siku za wiki juma tatu hadi Ijumaa kuanzia saa kumi kamili jioni hadi saa kumi na mbili kamili jioni........JISIKIE FAHARI, KUISIKILIZA SAYARI .




 WAKALI WA KIPINDI CHA SAYARI NA AFRIKA NA AFRIKA YETU YA 93.0 MOTO CHINI




 TIMU nzima ya kipindi cha AFRIKA YETU ya 93.0 Jogoo Fm kulia Papaa Ramso mutu yenyekujua lighu mingi1!! Ni mtafsri wa nyimbo za kongo anajua lingala, France nk....anafuata ni Catherine shaya Mama wa Afrika yetu na Papaa Mufaume, Paster....Muzee matata wa Afrika yetu......Lakini ni watangazaji wa kipindi mahiri cha SAYARI YETU cha Jogoo FM ambacho hurushwa kila siku za wiki juma tatu hadi Ijumaa kuanzia saa kumi kamili jioni hadi saa kumi na mbili kamili jioni........JISIKIE FAHARI, KUISIKILIZA SAYARI .



Tuko na mtu wetu anae tuhakikishia usalama wetu bwana


HABARI TOKA RUVUMA TANZANIA


Diwani wa kata ya misufini Salum Mfamaji ambaye pia ni mjumbe wa baraza la katiba manispaa ya songea amewataka wajumbe ambao wanajadili rasimu ya katiba kwa manispaa ya songea kujadili mawazo  ambayo yametolewa na wananchi na sio kwa manufaa ya vyama vyao.

Amesema ni lazima wajumbe ambao wamechaguliwa na wananchi kuwawakilisha wananchi wao kikamilifu badala ya kuangalia maslahi yao binafsi.

Wajumbe wa mabaraza ya mabadiliko ya katiba manispaa ya songea leo wameanza kujadili rasimu iliyopendekezwa na wananchi kwenye mchakato wa kupata maoni ya katiba mjadala ambao utakuwa wa siku tatu kwenye ukumbi wa chuo cha ualimu matogoro.


Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii imeombwa kuanzisha kliniki katika hospitali na vituo vya Afya nchini kwa ajiLi ya walemavu wa ngozi Albino walio athirika na ugonjwa wa saratani ya ngozi ili waathirika hao waweze kutambulika na kupatiwa tiba badala ya kuwapatia dawa za kuzuia mionzi ya jua.

Mwenyekiti wa chama cha Albino nchini Ernest Kimaya ameitaka idara ya ustawi wa jamii kuandaa  bajeti  itakayosaidia Maalbino nchini  kupata huduma ya afya stahiki.

Aidha kimaya amesema kuwa hadi hivi sasa tayari wamesha fanya mazungumzo na wizara na wameanza kutoa dawa ya kuzuia mionzi ya jua katika sehemu mbali mbali nchini.



Wachimbaji wadogo wa madini katika mgodi wa Mererani jijini Arusha  wameitaka serikali kusikiliza madai yao kama wanavyowasikiliza wawekezaji kutoka nje.

Mmoja wa wachimbaji hao wadogo Jackson Manjuu amesema pindi wanapokuwa na mgogoro baina yao na wawekezaji huonekana kuegemewa au kupendelewa zaidi kwa wawekezaji bila kuwajali wachimbaji wadogo ambao ni wazawa.

Manjuu amesema kuwa ili kuondoa migogoro isiyo ya lazima serikali haina budi kutenga maeneo maalumu kwa ajili ya wazawa.

Aug 3, 2013

HABARI KUTOKA RUVUMA

KUTOKA SONGEA RUVUMA TANZANIA

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ruvuma Deusdedit Nsimeki amewata wananchi kushirikiana na jeshi la polisi kwa kutoa taarifa pindi wanapowaona watu wahalifu ambao wanaenda kinyume na sheria katika jamii inayowazunguka.

Amesema jeshi la polisi limejipanga kudhibiti vitendo vya uhalifu ambavyo vinaendelea kujitokeza katika maeneo mbalimbali yaliyopo ndani ya mkoa.

INSERT..............KAMANDA SAUTI.

Ameyasema hayo baada ya jeshi la polisi kwa kushirikiana na wananchi wa mtaa wa makambi uliopo manispaa ya songea kumshikilia mwaharifu ambaye amekutwa na risasi kumi za silaa aina ya SMG anayejulikana kwa jina Mhamed mhamed mwenye umri wa miaka arobaini.

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

Katibu wa umoja wa wanawake wilaya ya Songea vijijini UWT Selina Ngonyani amewataka wanaume kutoa ushirikiano kwa familia zao kwa kutoa huduma zote za msingi ambazo zinahitajika katika familia zao.

amesema wazazi wote washirikiane kwa pamoja  kwa kupangilia kipato ambacho wanakipata katika msimu huu wa mavuno ili waweze kuberesha maendeleo ya pamoja katika familia zao wanazoishi.

INSERT........UWT SAUTI.

Kwa upande wa mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi CCM songea vijijini Nely Duwe amesema wazazi wote hawana budi kushirikiana ili kuweza kupata maendeleo kwa kusomesha watoto wao na kuberesha maisha yao.

INSERT..............MWENYEKITI SAUTI.

Kwa upande mwingine wamewaomba wananchi kutoa ushirikiano wa kuendeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo wamepewa wananchi waliojiunga katika vikundi mbalimbali katika jimbo la peramiho waliyopewa na Mbunge wa jimbo la Peramiho Jenestha Mhagama ukiwemo mradi wa ufugaji wa ng'ombe wa maziwa.

Apr 28, 2013






Mar 3, 2013

Ulikwisha mfahamu au kumsikia one omong the best presenter from jogoo fm Silvia Augustino ndie huyo

Nov 17, 2011

FAHAMU MUONGOZO WA VIPINDI INFO RADIO MTWARA




PROGRAM RUNNING ORDER (PRO) OF 24 HOURS





JUMATATU-ALHAMIS



TIME PROGRAM SEGMENTS

05:00 – 06:00 am AMKA NA INFO • GOSPLE MUSIC

• UTABIRI WA HALI YA HEWA

06:00- 09 :00 am ASUBUHI BOMBA • BBC

• NURU YA HABARI

• VIWANGO VYA FEDHA NA HABARI ZA BIASHARA

• UJUMBE WA SIKU

• SPORT HIGHLIT

• HABARI KUU YA LEO

09:00 – 01 :00 pm UKURASA MPYA • VICHEKESHO

• MSETO

• VIJINENO

• NASWA

• FACE TO FACE

• MAHANJUMATI

01:00 -01:30 DW

01:30 –0 4 :00 MIDUNDO YA PWANI /RAHBA









• PATASHIKA LA MTAANI

• MAHOJIANO NA WASANII

• SMS

04:00-04:05 MUHTASARI WA HABARI

04:05 – 06:00 AFRO TINGISHA • SEBENE LIVE

• TRANSLATION

• MPAMBANO

• AFRO REPORTS

06:00-07:00 DW

07:00-07:10 INFO HABARI HABARI KAMILI YA KUTWA NZIMA.

07:10 – 20:00 MICHEZO HABARI ZA MICHEZO NA UCHAMBUZI

08:00-11:00 PM VIBES • FOUR STATUS

• INTERVIEW

• EXCLUSIVE

• ENTERTAINMENT NEWS STORY

• TATU KALI ZA UJAZO

• KOLABO KALI

11:00 – 1:00 am REDY APPLE • SLOW MUSIC

• MADA

• USHAURI WA MAPENZI



1:00 – 5:59 am FLAVER NIGHT BURUDANI







































































IJUMAA



TIME PROGRAM SEGMENTS

05:00 – 06:00 am AMKA NA INFO • GOSPLE MUSIC

• UTABIRI WA HALI YA HEWA

06:00- 09 :00 am ASUBUHI BOMBA • BBC

• NURU YA HABARI

• VIWANGO VYA FEDHA NA HABARI ZA BIASHARA

• UJUMBE WA SIKU

• SPORT HIGHLIT

• HABARI KUU YA LEO

09:00 – 12:00 am UKURASA MPYA • VICHEKESHO

• MSETO

• VIJINENO

• NASWA

• FACE TO FACE

• MAHANJUMATI

• POLISI JAMII

12:00-1:00 PM NASAHA ZA AL-IJUMAA

01:00 -1:30 DW

01:30 – 4 :00 MIDUNDO YA PWANI /RAHBA









• PATASHIKA LA MTAANI

• MAHOJIANO NA WASANII

• SMS

4:00-4:05 MUHTASARI WA HABARI

4:05-6:00 PM VIBES • FOUR STATUS

• INTERVIEW

• EXCLUSIVE

• ENTERTAINMENT NEWS STORY

• TATU KALI ZA UJAZO

• KOLABO KALI

06:00-07:00 DW

07:00-07:10 INFO HABARI HABARI YA KUTWA NZIMA

07:10-08:00

MICHEZO HABARI ZA MICHEZO NA UCHAMBUZI

8:00-12:00 PM AGANO JIPYA • MAHUBIRI

• MUZIKI WA AKAPELA



• TULIA KWA YESU

12:00-5:00 AM GOSPLE MUSIC





















JUMA MOSI (SIKU YA SABATO)





TIME PROGRAM SEGMENTS

05:00–06:00 am AMKA NA INFO • GOSPLE MUSIC

• UTABIRI WA HALI YA HEWA

06:00-07:00 am BBC NA GOSPLE MUSIC

07:00–09:00 am DIRA HABARI MUHIMU ZA WIKI NZIMA



• MTWARA

• MIKOANI

• KIMATAIFA

09:00-11:00 GOSPLE MUSIC

11:00 -01:00 MAHUBIRI

01:00 – 01 :30 DW



01:30-02:00 GOSPLE MUSIC

20:00-3:00 AFYA YAKO

03:00-04:00 POLISI JAMII

04:00-04:05 MUHTASARI WA HABARI

04:05-06:00 MOTO WA UHAI CLINIC YA NDOA

NDOTO ZETU

06:00-07:00 DW

07:00-07:10 INFO HABARI HABARI YA KUTWA NZIMA

07:10 – 08:00 MICHEZO HABARI ZA MICHEZO NA UCHAMBUZI

08:00-10:00 FLASH BACK

10:00-12:00 SUTURDAY FIVER

12:00-05:00 AM FLAVER NIGHT







JUMA PILI



TIME PROGRAM SEGMENTS

05:00–06:00 am AMKA NA INFO • GOSPLE MUSIC

• UTABIRI WA HALI YA HEWA

07:00-09:00 am MISA MIX MUZIKI MCHANGANYIKO WA DINI YA KIKRISTO.

09:00–10:00 am TUFAHAMISHE

10:00-11:00 WATOTO

11:00 -01:00 ZILIZOVUMA

01:00-01:30 DW



01:30-02:00 IJUE SHERIA

02:00-03:00 SPORTS REVIEW

3:00-04:00 WANAWAKE

04:00-04:05 MUHTASARI WA HABARI

04:05-06:00 TOP TWENTY

06:00-07:00 DW

07:00-08:00 MICHEZO

08:00-11:00 SUNDAY FIVER

11:00-01:00 COUNTRY MUSIC

01:00-05:00 AM FLAVER NIGHT



















































































































Oct 22, 2011

INFO RADIO 92.1 MTWARA

IN

FIGHTING ALONGSIDE IGNORANCE AND POVERTY FOR YOUTH AT MTWARA REGION TANZANIA
  
A PROPOSAL  

PROPOSAL TITTLE: MTWARA TALENT SEEK

PRESENTED TO NAF BLUE COMPANY LIMITED MTWARA TANZANIA

BY

INFO RADIO 92.1 MTWARA
WRITEN BY MFAUME PASTORY 



TABLE OF CONTENTS



ITERMS                                                                                           PAGE NO




INTODUCTION………………….………………..…………......-3

STATEMENT OF THE PROBLAM………………..….…….…..4

A PROPASAL ………………………………….……….................5

OBJECTIVES…………………………………………...……....…6

VISION AND MIOSION…………….……………….…..……….7

SIGNIFICANCE OF MTWARA TALENT SEEK…...….…......8

EXPENDITURE OF THE FIRST YEAR……………………......9

ADVERTISING COST…………………………………………..10
                       A PROPOSED FINANCIAL PLAN AND BUDGET FOR THREE YEARS.11-13
TIME FRAME………………………………..…………..………..14

A SCRIPT FOR CONCERT ACTIVITIES…….…….................15








INTRODUCTION
Luck of employment, the increase of poverty and evils for most of Mtwara youth has being major problems for their development together with Nation development.
By understanding a positive contribution of youth in our region and nation development, INFO RADIO STATION wish to establish Mtwara Talent Seek which intended to provide education, promoting talent and helping youth from one stage to another in success.  
Kindly read a proposal bellow it explaining more about an idea.















  
 STATEMENT OF THE PROBLEM
Luck of development, employment and the increase of evils are originating from Ignorance and poverty, so info radio through your corporation together we can help this significance group for development of our nation.



















A PROPOSAL
Info Radio Station proposing an idea (project) to your office, an idea called MTWARA TALENT SEEK, A concert that will be done every September each year and will take a month to come to an end.
A concert will join together all youth at Mtwara region who’s having music and other talent and doing competition. A concert aimed to empower both Mtwara youth from poverty and ignorance.
 Our expectation is to start competition soon this year at Mtwara town while a. Awards are going to be provided for the winners, Our targeted audiences are Youth and from the beginning we shall start with an open concert that will be publishing to the mass.
A total cost of establishing a concert is 5,400,000/= and our expectation is to get more support from your office, from financially or any other contribution that you think can help our Youth.
At the first time a Concert will take five hours, starting from 2:00 pm to 6:00 pm absolutely this time all youth will be available.
Info Radio station kindly is asking for your support in establishing a concert and together we can reduce poverty and ignorance in our country.





  





OBJECTIVES  

1.3.1 GENERAL OBJECTIVE
Ø To empower Mtwara youth in fighting against poverty and ignorance.

1.3.2 SPECIFIC OBJECTIVES

Ø To rise the talents of Mtwara youth, so as to see are benefit through their talents in managing their life.

Ø To bring together all Tanzanians and emphasis them contributing in assist this generation.

Ø To see good future of our Tanzania Youth








OUR VISION
Our vision is to see a reduction of poverty and dependent of Youth in our region.

OUR MISION
Ø Establishing a concert that will join together various stake holders and members whose need to assist Youth development.

Ø Providing awards for the best talented artist that will enable them to be un dependent.

Ø Effective promotion of the concert to public so as they can be aware and emphasis them to contribute for concert.











SIGNIFICANCE OF MTWARA TALENT SEEK

Ø A project will provide employment for youth.

Ø A project will enable our artist to get an opportunity in ongoing with highest level of their activities.

Ø A project will rescue youth from evils.

Ø The increase of Nation income through artist jobs

Ø Our artist now will get time to be published and to be known widely.






  




THE BUDGET/ COST OF ESTABLISHING THE CONCERT
  A PROPOSED FINANCIAL PLAN AND BUDGET FOR THREE YEARS
1:EXPENDITURE OF THE FIRST YEAR

 ITERM  DISCRIPTION
AMOUNT
Music instruments Cost for four days
200,000/=@4
Venue Cost for four days
200,000/=@4
Cost of Awards for the winners
1,000,000/=
Entertainment Cost
1,000,000/=
Cost of food and accommodation for invited guests and other members.
300,000/=
Transportation cost
500,000/=
Electricity cost
200,000/=
Cost of Celebrities ( M C)
300,000/=
Cost of payment for workers/staff
300,000/=
Cost of others/emergences
200,000/=
Total Cost
5,400,000/=











ADVERTISING COST
Here Info Radio is going offer agreeable discount in advertising cost of your product or services for the whole 30 days of Mtwara Talent Seek.
SCHEDULE III (Sponsored Programs)

PROGRAM  DURATION
COSTS
15 MINUTES
100,000.00
30 MINUTES
150,000.00
45 MINUTES
200,000.00
60 MINUTES
300,000.00


THE BENEFIT FOR YOUR COMPAMY
1.      Is your opportunity in advertising your company
2.      You are now going to advertising your products
3.      You are now going to rise your profit
4.      You are going to help the society
5.      You are now going to rise your credibility to the society
6.      Government is now going to see your contribution in fighting against poverty and ignorance.

It’s required 5,400,000/= Tanzania Shillings as a budget of establishing the concert, including your preferred cost of advertising.




The following down are proposed financial plan and budget for three years:

1:      INCOME OF THE FIRST YEAR

             DISCRIPTION
AMOUNT
Part after awards
300,000/=
Educational stake holders contribution/donnas
500,000/=
Sms contribution in TV and Radio
200,000/=
TOTAL                   COST                                                     1,000,000/=


2: EXPENDITURE OF THE SECOND YEAR
This year my expectation our project will be already known to the public and to various educational stake holders, so this year we expect to get more support from various sponsors by writing request letters to ask their contribution and all sponsors contribution will be under the control of Mtwara Talent Concert. 

The following are things that we expect to get sponsors:

Ø Winners wards

Ø Food and accommodation

Absolutely by any means I will make sure that we get sponsors in all necessary awards and other cost.



REMAINING EXPENDITURE OF THE SECOND YEAR


ITERM  DISCRIPTION
AMOUNT
Music instruments Cost
200,000/=@4
Venue Cost
200,000/=@4
Entertainment Cost
1,000,000/=
Transportation cost
500,000/=
Electricity cost
200,000/=
Cost of Celebrities ( M C)
300,000/=
Cost of payment for workers/staff
300,000/=
Cost of others/emergences
200,000/=
Total Cost
4,100,000/=


 2: INCOME OF THE SECOND YEAR


DISCRIPTION
AMOUNT (TSHS)
Part of Awards
500,000/=
Education stake holders contributions
1,000,000/=
SMS contribution from the public
500,000/=
Form fees
200,000/=
Extra money from sponsors
300,000/=
TOTAL INCOME
2,500,000/=








 3: EXPENDITURE OF THE THIRD YEAR

Now our expectation the project will be already stand stronger, well know to the mass and nationally wide, we expect to have more sponsors and more development stake holders contributing to our project. By using our creativity in convincing sponsors in sponsoring our project now we expect all cost to be covered by them (sponsors) and all the contribution will be under Mtwara Talent Seek project. Now we will start thinking to make our concert to be done regionally level.
3: EXPENDITURE OF THE THREE YEAR

ITERM  DISCRIPTION
AMOUNT
Music instruments Cost
200,000/=@4
Venue Cost
200,000/=@4
Entertainment Cost
1,000,000/=
Transportation cost
500,000/=
Electricity cost
200,000/=
Cost of Celebrities ( M C)
300,000/=
Cost of payment for workers/staff
300,000/=
Cost of others/emergences
200,000/=
Total Cost
4,100,000/=


3: INCOME OF THE THREE YEAR

 DISCRIPTION
AMOUNT (TSHS)
Part after awards
1,000,000/=
Educational stake holders contributions
1,000,000/=
SMS contributions from the public
500,000/=
Extra money from sponsors
1,000,000/=
Form for participant
300,000/=
Other income
200,000/=
TOTAL INCOME
4,300,000/=




2.1 TIME FRAME
Our expectation: Mtwara Talent Seek will be done on 4 or 11 December so as to have a lager number of participant and audiences.
This will be continuously project and if God wish we are going to start this year of 2011.


















A SCRIPTY FOR CONCERT

 NO
ITERM
DESCRIPTION
SOURCE
TIME
1
Entertainment

Entertainment from underground musicians and other entertainment to welcome audiences/make them come close.
MC no 1
2:00 pm-4:00 pm
2
Opening
We will get a short summary about. Mtwara Talent Seek.
MC no 2
4:00-4:05 pm
3
Competition
Mtwara Talent Seek is going to start.
All decision for proceeding artist in competition done by Judges.
MC no 2
4:05-6:00 pm
11
Conclusion
Short closing summary from guest of honor.
MC no 2
6:00 pm
12
Closing
MC allows all guests to leave and end.
MC no 2
6:05 pm


CONCLUSION
If the proposal is agreeable to you, please let us know early, so that we can be aware. We appreciate your confidence and looking forward working with you in this project. 
GOOLUCK