Dec 17, 2013

Rais Kikwete afungua mkutano wa TNBC jijini Dar es Salaam leo



* Rais Dkt .Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation(TPSF) Dr.Reginald Mengi wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa TNBC uliofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam leo.Kulia ni Waziri Mkuu Mizengo Pinda. 

Chini akihutubia wakati wa ufunguzi wa mkutano huo* 

*Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi ya Tanzania National Business Council muda mfupi kabla ya ufunguzi wa Mkutano wa TNBC uliofanyika katika hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam leo






 

No comments:

Post a Comment