Jul 22, 2011

KUTOKA ZANZIBAR



1. Makamu w a kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, akiangaliwa uharibifu wa mazingira uliotokana na uchimbaji wa matofali karibu na mnara wa Ras Kigomasha Kaskazini Pemba.

2.Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akiangalia uharibifu wa mazingira unaotokana na kazi za uchimbaji na upasuaji wa matofali huko kwa Sanani Muwambe, Mkoa wa Kusini Pemba.


No comments:

Post a Comment