Nov 21, 2010

MFAUME: YES I COME IS BETTER PEOPLE IN FIELD TO PAY ATTENTION


Mfaume Pastory a forma student from Dar es salaam school of journalism of 2010 now come in practice journalism professional after finishing his diploma cause.

Pastory who aready did field at Tanzania Daima news paper, Voice of Tabora (VOT) and Tafakari news paper said he expect to do wonderfull in this journalism professional because of a lot of experience and talent he has, in spite of being a good broadcustor and presenter.

He said for the time being he is at home for a shot time because he need to get time to reflesh his mind with his parenst before starting a job so still he did write any application for a job.



MFAUME: YES I COME IS BETTER PEOPLE IN FIELD TO PAY ATTENTION


Mfaume Pastory a forma student from Dar es salaam school of journalism of 2010 now come in practice journalism professional after finishing his diploma cause.

Pastory who aready did field at Tanzania Daima news paper, Voice of Tabora (VOT) and Tafakari news paper said he expect to do wonderfull in this journalism professional because of a lot of experience and talent he has, in spite of being a good broadcustor and presenter.

He said for the time being he is at home for a shot time because he need to get time to reflesh his mind with his parenst before starting a job so still he did write any application for a job.



Oct 20, 2010

Youth and Women in Tanzania are in danger over HIV

Tanzania commission for aids says HIV/AIDS IN TANZANIA From observations they done it shows that two groups emerge as the most affected. These are the youth and the women. and they have explain Several reasons.

Early marriage and early initiation of sex among women, young girls having sex with older men, peer pressure for high-risk behaviour, biological and anatomical predisposition are some of the most important reasons.

In addition, failure of women to protect themselves from HIV infections due to economic hardships, repressive customary laws, beliefs and polygamy could all contribute to this state of affairs.A third group mostly affected is the poor. This group is most likely illiterate and unemployed, as a result; it might use sex as a means of earning a living. Again, women are more likely to get involved than men, for lack of alternative means of survival.A fourth group of those mostly affected is the so-called “mobile populations” which consists of those who work and stay away from home for varied lengths of time during a year.

These include commercial sex workers (CSW), petty traders, migrant workers, military personnel and long distance truck drivers. Their inability to negotiate for safer sex with their clients puts them at a high risk.

Another group of workers in risky occupations is that of health workers who may inadvertently handle infected material in the course of their work. These often lack the necessary protective gear and education to prevent them from coming into contact with infected materials

Aug 4, 2010

SOME AREAS OF DODOMA REGION
















Some of citizens of dodoma region thinking
changing ideas at mwalimu Nyerere squre
the place where most of people like to go and enjoy
there.















This is the condition of a streems of
dodoma
University which transmite toilet water from the
students domitories to the toilet sink




Mfaume Pastory a journalist from Dar es salaam
School of journalism at Dodoma University
during his tour and official activities.

Tanzania prime ministry Mizengo Pinda in his official tour



















PICTURES IN EVENTS
















Some of Tanzania govenment leaders in a meeting
at Karemgee Hole in Dar es salaaam















Some of tourist celebrate after iriving at the
top of the the moutain kilimanjaro



She is my frind SADA from university of Dodoma
we was togather in field in a news paper of Tafakari
which is alocated at Sinza in Dar es salaam.hi

Aug 3, 2010













































Oct 2, 2009

VIZURI VITATUUA JAMANI

Na Mfaume Pastory




VIZURI VITATUUA JAMANI!



Habari za wakati mpenzi msomaji matumaini yangu ni mzima wa afya njema kabisa hapo ulipo, sote hatunabudi kumshukuru muumba kwa kutukutanisha tene siku nyingine nzuri hii ya leo.

Liati kama tungelikuwa na uwezo wa kubashiri au kuyaona yatakayotutokea mbeleni basi hakika yale ya shari! yasingelitupata.

Nakumbuka ilikuwa ni ijumaa nzuri ya February 25 2005 siku ambayo asubuhi na mapema niliamka na sehemu yangu ya kwanza kwenda baada ya kutoka nyumbani ilikuwa ni shirika la reli Tabora.

Kwa kawaida na mazoea niliyokuwa nayo kipindi hicho ilikuwa mara baada kumaliza mizunguko yangu yote jioni saa 12 nililazimika nipite kumjulia hali rafiki yangu kipenzi wakike aliyejulikana kwa jina la Eva Mwamba.

Ama kwa hakika katika wasichana waliobahatika kubarikiwa uzuri, wenye kujipamba na wakapambika na wakipita kutazamwa mara mbilimbili! Eva ni mingoni mwao.

Alikuwa si mrefu wala si mfupi ila ni wakawaida, mwenye umbo zuri mnene wakawaida, mwenye midomo na macho yakuvutia. Wahenga walisema kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza, msomaji hali hii ilimfanya Eva kupendwa na vijana wengi ingawa wakati huo mimi ndiye nilikuiwa chaguo lake.

Sefu alikuwa ni miongoni mwavijana waliopata bahati ya kukutana na Eva na alivutiwa nae wakati huo Sefu alikuwa akilitumikia jeshi la wananchi la Tanzania (JWTZ) na bila kuchelewa alipanga mikakati ya jinsi gani angeliweza kuwa mahusiano ya kimapenzi na Eva wakati huo akiwa kidato cha pili umri miaka 17.

Katika harakati zake Sefu aliweza kupata taarifa nyingi sana zilizo husu mahusiano yetu baina yangu na Eva na alitamani siku aje kifahamu mimi ni mtu wa aina gani.

Enzi hizo nikiwa kiwa kidato cha nne katika shule moja Mkoani Tabora iliyojulikana kwa jina la Uyui High school. Alibahatika kuniona na baada ya kuniona aliahidi kuvunja mahusiano yetu kwanamna yeyote ile kwakuwa yeye ni mwanajeshi wa jeshi la wananchi Tanzania!

Mpenzi msomaji, Sefu alitumia pesa nyingi! Alitumia zawadi za ina mbalimbali! lakini jitihada zake zote ziligonga mwamba na ndipo alipoamua kutumia nafasi yake ya uanajeshi aliyopewa na serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania.

Mungu si athumani February 25,2005 saa 12 jioni nikiwa na rafiki yangu kwa jina Sospeter Maganga, tulipita nyumbani anakoishi Eva ili kumjulia hali ndipo tulipokutana na askari Sefu naye akiwa katika mawindo yake.

Wakati wote baada ya yeye kuwa amefika nyumbani kwao Eva hakufanikiwa kumtoa wala kuonana ila mimi nilipofika tu nilituma ujumbe na muda mfupi tu Eva alifika na tukaelekea sehemu ambayo tulipenda kufanyia mazungumzo yetu.

La hasha! Hatukuwa na hili wala lile tulimwona Sefu akija kwa kasi , mlengwa nikiwa ni mimi na alifika pale tulipokuwa tumekaa pasi kuuliza alipiga bara bara amahakika nahisi alijaribu kukumbushia mazoezi yale ambayo alifundishwa enzi za mafunzo yake ya akiwa mafunzoni.

Eva na Sospeter hawakuwa na jinsi walibidi kukaa mbali kukiepuka kichapo, katika harakati za kujaribu kujiokoa nilifanikiwa kukimbia na nilipofika umbali mfupi tu nilianguka na kuzimia palepale! Wizara ya Elimu karibu na kumbi maarufu ya jashi muungano mesi.

Inasikitisha sana! Kwasasa Eva hajaolewa ila tayari anafamilia! hii nikutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wake. Hakika hiyo ni siku ambayo sintokaa ni isahau katika maisha yangu yote.


Tatizo kubwa ni ujinga ambao watanzania wachache bado wanao miongoni mwao, kutumia dhamana walizokabidhiwa na serikali kinyume na sheria kwa kukiuka haki za raia wataifa lake! Kukiuka maadili ya jamii kwa kuwatamani kimapenzi watoto! ambao ni sawa na watoto wao hatimae kuwapotezea malengo na mwelekeo wa maisha yao.

Nashukuru kwa hivi sasa kuona baadhi ya taasisi na vyombo nchini vikipambana katika kupigania haki za watoto wakike, mfano Haki Elimu wakiwa na dhamira ya kumjengea msingi bora ya wamaisha mototo wa kike kwani walio wengi wamejikuta hawana mwelekeo kwa kupata mimba zisizo tarajiwa kwa kudanganywa.

Ndugu zangu si viongozi pekee wa serikali wanaopaswa kukemea wale wanaojaribu kukiuka sheria na maadili nchini bali hata wewe raia pia unalojukumu hilo kwa kuwafikisha katika vyombo vya sheria watu kama hao.

Tusisite kuwashitaki wale wote tunaowaona wakivunja sheria na kutenda maovu katika ajamii zetu kwani mahakama na vyombo vingine vya sheria vipo kwa ajili yetu raia basi nasi nijukumu letu kuvitumia.