Tanzania commission for aids says HIV/AIDS IN TANZANIA From observations they done it shows that two groups emerge as the most affected. These are the youth and the women. and they have explain Several reasons.
Early marriage and early initiation of sex among women, young girls having sex with older men, peer pressure for high-risk behaviour, biological and anatomical predisposition are some of the most important reasons.
In addition, failure of women to protect themselves from HIV infections due to economic hardships, repressive customary laws, beliefs and polygamy could all contribute to this state of affairs.A third group mostly affected is the poor. This group is most likely illiterate and unemployed, as a result; it might use sex as a means of earning a living. Again, women are more likely to get involved than men, for lack of alternative means of survival.A fourth group of those mostly affected is the so-called “mobile populations” which consists of those who work and stay away from home for varied lengths of time during a year.
These include commercial sex workers (CSW), petty traders, migrant workers, military personnel and long distance truck drivers. Their inability to negotiate for safer sex with their clients puts them at a high risk.
Another group of workers in risky occupations is that of health workers who may inadvertently handle infected material in the course of their work. These often lack the necessary protective gear and education to prevent them from coming into contact with infected materials
Oct 20, 2010
Aug 4, 2010
SOME AREAS OF DODOMA REGION
Some of citizens of dodoma region thinking
changing ideas at mwalimu Nyerere squre
the place where most of people like to go and enjoy
there.
This is the condition of a streems of
dodoma
University which transmite toilet water from the
students domitories to the toilet sink
Mfaume Pastory a journalist from Dar es salaam
School of journalism at Dodoma University
during his tour and official activities.
PICTURES IN EVENTS
Some of Tanzania govenment leaders in a meeting
at Karemgee Hole in Dar es salaaam
Some of tourist celebrate after iriving at the
top of the the moutain kilimanjaro

She is my frind SADA from university of Dodoma
we was togather in field in a news paper of Tafakari
which is alocated at Sinza in Dar es salaam.hi
Aug 3, 2010
Oct 2, 2009
VIZURI VITATUUA JAMANI
Na Mfaume Pastory
VIZURI VITATUUA JAMANI!
Habari za wakati mpenzi msomaji matumaini yangu ni mzima wa afya njema kabisa hapo ulipo, sote hatunabudi kumshukuru muumba kwa kutukutanisha tene siku nyingine nzuri hii ya leo.
Liati kama tungelikuwa na uwezo wa kubashiri au kuyaona yatakayotutokea mbeleni basi hakika yale ya shari! yasingelitupata.
Nakumbuka ilikuwa ni ijumaa nzuri ya February 25 2005 siku ambayo asubuhi na mapema niliamka na sehemu yangu ya kwanza kwenda baada ya kutoka nyumbani ilikuwa ni shirika la reli Tabora.
Kwa kawaida na mazoea niliyokuwa nayo kipindi hicho ilikuwa mara baada kumaliza mizunguko yangu yote jioni saa 12 nililazimika nipite kumjulia hali rafiki yangu kipenzi wakike aliyejulikana kwa jina la Eva Mwamba.
Ama kwa hakika katika wasichana waliobahatika kubarikiwa uzuri, wenye kujipamba na wakapambika na wakipita kutazamwa mara mbilimbili! Eva ni mingoni mwao.
Alikuwa si mrefu wala si mfupi ila ni wakawaida, mwenye umbo zuri mnene wakawaida, mwenye midomo na macho yakuvutia. Wahenga walisema kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza, msomaji hali hii ilimfanya Eva kupendwa na vijana wengi ingawa wakati huo mimi ndiye nilikuiwa chaguo lake.
Sefu alikuwa ni miongoni mwavijana waliopata bahati ya kukutana na Eva na alivutiwa nae wakati huo Sefu alikuwa akilitumikia jeshi la wananchi la Tanzania (JWTZ) na bila kuchelewa alipanga mikakati ya jinsi gani angeliweza kuwa mahusiano ya kimapenzi na Eva wakati huo akiwa kidato cha pili umri miaka 17.
Katika harakati zake Sefu aliweza kupata taarifa nyingi sana zilizo husu mahusiano yetu baina yangu na Eva na alitamani siku aje kifahamu mimi ni mtu wa aina gani.
Enzi hizo nikiwa kiwa kidato cha nne katika shule moja Mkoani Tabora iliyojulikana kwa jina la Uyui High school. Alibahatika kuniona na baada ya kuniona aliahidi kuvunja mahusiano yetu kwanamna yeyote ile kwakuwa yeye ni mwanajeshi wa jeshi la wananchi Tanzania!
Mpenzi msomaji, Sefu alitumia pesa nyingi! Alitumia zawadi za ina mbalimbali! lakini jitihada zake zote ziligonga mwamba na ndipo alipoamua kutumia nafasi yake ya uanajeshi aliyopewa na serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Mungu si athumani February 25,2005 saa 12 jioni nikiwa na rafiki yangu kwa jina Sospeter Maganga, tulipita nyumbani anakoishi Eva ili kumjulia hali ndipo tulipokutana na askari Sefu naye akiwa katika mawindo yake.
Wakati wote baada ya yeye kuwa amefika nyumbani kwao Eva hakufanikiwa kumtoa wala kuonana ila mimi nilipofika tu nilituma ujumbe na muda mfupi tu Eva alifika na tukaelekea sehemu ambayo tulipenda kufanyia mazungumzo yetu.
La hasha! Hatukuwa na hili wala lile tulimwona Sefu akija kwa kasi , mlengwa nikiwa ni mimi na alifika pale tulipokuwa tumekaa pasi kuuliza alipiga bara bara amahakika nahisi alijaribu kukumbushia mazoezi yale ambayo alifundishwa enzi za mafunzo yake ya akiwa mafunzoni.
Eva na Sospeter hawakuwa na jinsi walibidi kukaa mbali kukiepuka kichapo, katika harakati za kujaribu kujiokoa nilifanikiwa kukimbia na nilipofika umbali mfupi tu nilianguka na kuzimia palepale! Wizara ya Elimu karibu na kumbi maarufu ya jashi muungano mesi.
Inasikitisha sana! Kwasasa Eva hajaolewa ila tayari anafamilia! hii nikutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wake. Hakika hiyo ni siku ambayo sintokaa ni isahau katika maisha yangu yote.
Tatizo kubwa ni ujinga ambao watanzania wachache bado wanao miongoni mwao, kutumia dhamana walizokabidhiwa na serikali kinyume na sheria kwa kukiuka haki za raia wataifa lake! Kukiuka maadili ya jamii kwa kuwatamani kimapenzi watoto! ambao ni sawa na watoto wao hatimae kuwapotezea malengo na mwelekeo wa maisha yao.
Nashukuru kwa hivi sasa kuona baadhi ya taasisi na vyombo nchini vikipambana katika kupigania haki za watoto wakike, mfano Haki Elimu wakiwa na dhamira ya kumjengea msingi bora ya wamaisha mototo wa kike kwani walio wengi wamejikuta hawana mwelekeo kwa kupata mimba zisizo tarajiwa kwa kudanganywa.
Ndugu zangu si viongozi pekee wa serikali wanaopaswa kukemea wale wanaojaribu kukiuka sheria na maadili nchini bali hata wewe raia pia unalojukumu hilo kwa kuwafikisha katika vyombo vya sheria watu kama hao.
Tusisite kuwashitaki wale wote tunaowaona wakivunja sheria na kutenda maovu katika ajamii zetu kwani mahakama na vyombo vingine vya sheria vipo kwa ajili yetu raia basi nasi nijukumu letu kuvitumia.
VIZURI VITATUUA JAMANI!
Habari za wakati mpenzi msomaji matumaini yangu ni mzima wa afya njema kabisa hapo ulipo, sote hatunabudi kumshukuru muumba kwa kutukutanisha tene siku nyingine nzuri hii ya leo.
Liati kama tungelikuwa na uwezo wa kubashiri au kuyaona yatakayotutokea mbeleni basi hakika yale ya shari! yasingelitupata.
Nakumbuka ilikuwa ni ijumaa nzuri ya February 25 2005 siku ambayo asubuhi na mapema niliamka na sehemu yangu ya kwanza kwenda baada ya kutoka nyumbani ilikuwa ni shirika la reli Tabora.
Kwa kawaida na mazoea niliyokuwa nayo kipindi hicho ilikuwa mara baada kumaliza mizunguko yangu yote jioni saa 12 nililazimika nipite kumjulia hali rafiki yangu kipenzi wakike aliyejulikana kwa jina la Eva Mwamba.
Ama kwa hakika katika wasichana waliobahatika kubarikiwa uzuri, wenye kujipamba na wakapambika na wakipita kutazamwa mara mbilimbili! Eva ni mingoni mwao.
Alikuwa si mrefu wala si mfupi ila ni wakawaida, mwenye umbo zuri mnene wakawaida, mwenye midomo na macho yakuvutia. Wahenga walisema kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza, msomaji hali hii ilimfanya Eva kupendwa na vijana wengi ingawa wakati huo mimi ndiye nilikuiwa chaguo lake.
Sefu alikuwa ni miongoni mwavijana waliopata bahati ya kukutana na Eva na alivutiwa nae wakati huo Sefu alikuwa akilitumikia jeshi la wananchi la Tanzania (JWTZ) na bila kuchelewa alipanga mikakati ya jinsi gani angeliweza kuwa mahusiano ya kimapenzi na Eva wakati huo akiwa kidato cha pili umri miaka 17.
Katika harakati zake Sefu aliweza kupata taarifa nyingi sana zilizo husu mahusiano yetu baina yangu na Eva na alitamani siku aje kifahamu mimi ni mtu wa aina gani.
Enzi hizo nikiwa kiwa kidato cha nne katika shule moja Mkoani Tabora iliyojulikana kwa jina la Uyui High school. Alibahatika kuniona na baada ya kuniona aliahidi kuvunja mahusiano yetu kwanamna yeyote ile kwakuwa yeye ni mwanajeshi wa jeshi la wananchi Tanzania!
Mpenzi msomaji, Sefu alitumia pesa nyingi! Alitumia zawadi za ina mbalimbali! lakini jitihada zake zote ziligonga mwamba na ndipo alipoamua kutumia nafasi yake ya uanajeshi aliyopewa na serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Mungu si athumani February 25,2005 saa 12 jioni nikiwa na rafiki yangu kwa jina Sospeter Maganga, tulipita nyumbani anakoishi Eva ili kumjulia hali ndipo tulipokutana na askari Sefu naye akiwa katika mawindo yake.
Wakati wote baada ya yeye kuwa amefika nyumbani kwao Eva hakufanikiwa kumtoa wala kuonana ila mimi nilipofika tu nilituma ujumbe na muda mfupi tu Eva alifika na tukaelekea sehemu ambayo tulipenda kufanyia mazungumzo yetu.
La hasha! Hatukuwa na hili wala lile tulimwona Sefu akija kwa kasi , mlengwa nikiwa ni mimi na alifika pale tulipokuwa tumekaa pasi kuuliza alipiga bara bara amahakika nahisi alijaribu kukumbushia mazoezi yale ambayo alifundishwa enzi za mafunzo yake ya akiwa mafunzoni.
Eva na Sospeter hawakuwa na jinsi walibidi kukaa mbali kukiepuka kichapo, katika harakati za kujaribu kujiokoa nilifanikiwa kukimbia na nilipofika umbali mfupi tu nilianguka na kuzimia palepale! Wizara ya Elimu karibu na kumbi maarufu ya jashi muungano mesi.
Inasikitisha sana! Kwasasa Eva hajaolewa ila tayari anafamilia! hii nikutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wake. Hakika hiyo ni siku ambayo sintokaa ni isahau katika maisha yangu yote.
Tatizo kubwa ni ujinga ambao watanzania wachache bado wanao miongoni mwao, kutumia dhamana walizokabidhiwa na serikali kinyume na sheria kwa kukiuka haki za raia wataifa lake! Kukiuka maadili ya jamii kwa kuwatamani kimapenzi watoto! ambao ni sawa na watoto wao hatimae kuwapotezea malengo na mwelekeo wa maisha yao.
Nashukuru kwa hivi sasa kuona baadhi ya taasisi na vyombo nchini vikipambana katika kupigania haki za watoto wakike, mfano Haki Elimu wakiwa na dhamira ya kumjengea msingi bora ya wamaisha mototo wa kike kwani walio wengi wamejikuta hawana mwelekeo kwa kupata mimba zisizo tarajiwa kwa kudanganywa.
Ndugu zangu si viongozi pekee wa serikali wanaopaswa kukemea wale wanaojaribu kukiuka sheria na maadili nchini bali hata wewe raia pia unalojukumu hilo kwa kuwafikisha katika vyombo vya sheria watu kama hao.
Tusisite kuwashitaki wale wote tunaowaona wakivunja sheria na kutenda maovu katika ajamii zetu kwani mahakama na vyombo vingine vya sheria vipo kwa ajili yetu raia basi nasi nijukumu letu kuvitumia.
Sep 4, 2009
SERIKALI HEBU MLITAZAME NA HILI KWA KINA
with Mfaume Pastory
OUR GOVERNMENT IS BETTER TO LOOK THIS
This is another day, i Hope your fine, i want you to look this more indeeply,and i want only to remind and tom have a memory,since we got an indepent is 45 years now,and our goal as a national is to fight against our three enemie ignourant, povert and diseases that we had been told with the father of this nation Mwalimu Julius k Nyerere.
Mwalimu said in order to remove them or to reduce them we can be able to make a good future life of tanzania citizen.
Napotaka tuelekee mimi na wewe leo hii ni katika suala moja tu la Ujinga hasa katika suala zima la Elimu ambako tuliowengi wetu tunaamini kuwa ndio msingi na mkombozi wa mwelekeo bora wa maisha yetu.
Lakini kutokana upeo wangu mdogo tu wakufikiria na kuweza kuyaona mambo mbalimbali ambayo yamekuwa yakiendelea kutokea katika jamii zetu kwa kwe hili limekuwa likisumbua kabisa akili yangu na kunifanya nione kuwa tunakokwenda sasa tunazidi kupotea.
Serikali imekuwa mstari wa mbele katika kupambana na adui Ujinga tangu tulipopata uhuru lakini chakushangaza nikwamba wale tuwaonao sisi kuwa ndio wasomi ambao wangeliweza kuwa mstari wa mbele katika upambanaji lakini ndio wamekuwa mstari wa mbele katika kuongeza tatizo la ujinga katika Taifa hili changa.
Pengine swali lako kubwa litakuwa ni akina nani hao? Naomba nikugusie mfano mzuri tu ambako huko ndio utakakoweza kuyaona yote haya na ndio swala ambalo nintalingumzia kiundani zaidi leo hii.
Taasisi zetu mbalimbali za elimu hapa nchini nikiwa na maana ya vyuo na vyuo vikuu hakika baadhi ya taasisi hizi za elimu zimekuwa ndio chanzo kikubwa cha kuzidi kuzidisha kiwango cha watanzania kuonekana kuwa bado ni wajinga.
Zimekuwa zikijitumbukiza katika kuidanganya serikali yetu eidha kwa maslahi yao bunafsi na watumishi wake na si kwa manufaa ya wanafunzi wala kujali mustakabali mzima katika mwelekeo wa maisha yao.
Utaniuliza swali wamekuwa wakiidanganya vipi serikali? Naomba nikufahamisha wewe mtanzania mwenzangu ambae pengine bado uko gizani!
Taasisi hizi ili ziweze kuwa zimekamilika na kuweza kutoa hudu ya elimu kwa watanzania ni lazima ziwe zimepata kibali kutoka kwa wakaguzi wakuu wa serikali ili kuweza kuepuka taasisi holela.
Na ili ziweze kutoa huduma hiyo ni lazima ziwe zimetimiza masharti na vigezo vyote ambavyo vimewekwa na serikali ili kuwezo kutoa kiwango bora cha elimu kwa watanzania.
Sasa kuna baadhi ya Vyuo hapa hapa nchini ambavyo vimekuwa vikitoa elimu ya taaluma hali yakuwa havijatimiza hata nusu ya vigezo ambavyo vimekuwa vikihitajika kwa mujibu wa sheria.
Pengine utaniuliza inakuweje? Serikali imekuwa ikihitaji kuona kama ambavyo nilivyokueleza hapo juu lakini viongozi hawa wa taasisi hizi wamekuwa wakifanya maandalizi ya muda mfupi kwa kuandaa idara feki napengine hata kulazimika kugushi vitendea kazi na kisha kuwaita wakaguzi wa serikali kwa kuwakagau!
Wakaguzi watapanga na kuwaambia siku watakayo kwenda kwa ajili ya shughuli hiyo ya ukaguzi wakifika watakagua na kuona vigezo vyao vipo na hatimae kukipatia chuo hicho usajili lakini pia na pongezi tele.
Walivyo hawana haya watajidai na kuwaelezea mikakati miingi waliyonayo kumbe wakiwalamba visigo wakaguzi hao na mwisho wasiku wanakuwa wametimiza adhma na malengo walokuwa nayo pasipokujua kuwa wameliangamiza taifa huku ni wapi twaelekea?
Hili limetokea katika chuo kimoja maarufu hapa nchini na wala sina haja ya kukiweka hadharani na chuo hicho mpaka sasa kinaendelea kupeta kwa kula ada nyingi za watanzania masikini na nilipoingia ndani kuona kiwango cha ubora wa elimu kitoacho nilisikitika sana.
Huwezi amini chuo hicho maarufu chenye kuofa kiwango cha dipolama nilikikuta kina madarasa mawili ambayo kimekodisha yakitumiwa na wanafunzi zaidi ya mianne na hata vifaa inasemekana wamekuwa wakilia kila mwaka pasipo mafanio yeyote.
Nikajiuliza masuali mengi sana na katika baadhi ya moja ya jibu nililolipata ni ndio kwamana mapaka sasa tunazalisha wasomi hewa ambao tunawapeleka katika soko la ajira wanashindwa kufanya kazi.
Kwani kumbe huko walikotoka katika hivyo vyuo vyao walishindwa kupata mafunzo yaliyo katika viwango vyenye ubora kwani vyuo hivyo havina uwezo huo hili ni jambo ambalo serikali inapaswa kulitazama.
Sidhani kama serikali itakuwza hilitambui suala hili la hasha! Mnalitambua na kama mlikuwa hamlitambui basi ndio mlitambue sasa kwani watu hawa ndio wanao zidi kudidimiza jitahihada zetu katika suala hili changa.
Sasa hebu tuwaulize ninyi
.
viongozi wa taasisi kama hizi nini dhamira yenu kuyafanya haya? Je madhara yake hamuyaoni kwa hao munaowapotezea muda wao? Au huwa mwajisikiaje pale muwaonapo hao wanafunzi wenu baada ya kupata kazi na kurudi kuwauliza lile ambalo hamkuwapatia pindi walipokuwa katika vyuio vyenu?
Mikopo kila kukicha mabeni yanato tena kwa kuwapatia kipaumbele ninyi wenye mataasisi makubwa mkidhaniwa ndio wenye umuhimu zaidi ako wapi kukopa na kuhakikisha mnatoa elimu iliyo bora?
Serikali, pengine hili linafanywa kwa ushirikiano na baadhi yawatumishi wenu serikalini kwakupatiwa kile wanachoita kitu kidogo na viongozi wa taasisi hizo na hawa nao munapaswa kuwashughulikia kwamujibu wa sheria kwani hatutafika kwa mwenendo huu
OUR GOVERNMENT IS BETTER TO LOOK THIS
This is another day, i Hope your fine, i want you to look this more indeeply,and i want only to remind and tom have a memory,since we got an indepent is 45 years now,and our goal as a national is to fight against our three enemie ignourant, povert and diseases that we had been told with the father of this nation Mwalimu Julius k Nyerere.
Mwalimu said in order to remove them or to reduce them we can be able to make a good future life of tanzania citizen.
Napotaka tuelekee mimi na wewe leo hii ni katika suala moja tu la Ujinga hasa katika suala zima la Elimu ambako tuliowengi wetu tunaamini kuwa ndio msingi na mkombozi wa mwelekeo bora wa maisha yetu.
Lakini kutokana upeo wangu mdogo tu wakufikiria na kuweza kuyaona mambo mbalimbali ambayo yamekuwa yakiendelea kutokea katika jamii zetu kwa kwe hili limekuwa likisumbua kabisa akili yangu na kunifanya nione kuwa tunakokwenda sasa tunazidi kupotea.
Serikali imekuwa mstari wa mbele katika kupambana na adui Ujinga tangu tulipopata uhuru lakini chakushangaza nikwamba wale tuwaonao sisi kuwa ndio wasomi ambao wangeliweza kuwa mstari wa mbele katika upambanaji lakini ndio wamekuwa mstari wa mbele katika kuongeza tatizo la ujinga katika Taifa hili changa.
Pengine swali lako kubwa litakuwa ni akina nani hao? Naomba nikugusie mfano mzuri tu ambako huko ndio utakakoweza kuyaona yote haya na ndio swala ambalo nintalingumzia kiundani zaidi leo hii.
Taasisi zetu mbalimbali za elimu hapa nchini nikiwa na maana ya vyuo na vyuo vikuu hakika baadhi ya taasisi hizi za elimu zimekuwa ndio chanzo kikubwa cha kuzidi kuzidisha kiwango cha watanzania kuonekana kuwa bado ni wajinga.
Zimekuwa zikijitumbukiza katika kuidanganya serikali yetu eidha kwa maslahi yao bunafsi na watumishi wake na si kwa manufaa ya wanafunzi wala kujali mustakabali mzima katika mwelekeo wa maisha yao.
Utaniuliza swali wamekuwa wakiidanganya vipi serikali? Naomba nikufahamisha wewe mtanzania mwenzangu ambae pengine bado uko gizani!
Taasisi hizi ili ziweze kuwa zimekamilika na kuweza kutoa hudu ya elimu kwa watanzania ni lazima ziwe zimepata kibali kutoka kwa wakaguzi wakuu wa serikali ili kuweza kuepuka taasisi holela.
Na ili ziweze kutoa huduma hiyo ni lazima ziwe zimetimiza masharti na vigezo vyote ambavyo vimewekwa na serikali ili kuwezo kutoa kiwango bora cha elimu kwa watanzania.
Sasa kuna baadhi ya Vyuo hapa hapa nchini ambavyo vimekuwa vikitoa elimu ya taaluma hali yakuwa havijatimiza hata nusu ya vigezo ambavyo vimekuwa vikihitajika kwa mujibu wa sheria.
Pengine utaniuliza inakuweje? Serikali imekuwa ikihitaji kuona kama ambavyo nilivyokueleza hapo juu lakini viongozi hawa wa taasisi hizi wamekuwa wakifanya maandalizi ya muda mfupi kwa kuandaa idara feki napengine hata kulazimika kugushi vitendea kazi na kisha kuwaita wakaguzi wa serikali kwa kuwakagau!
Wakaguzi watapanga na kuwaambia siku watakayo kwenda kwa ajili ya shughuli hiyo ya ukaguzi wakifika watakagua na kuona vigezo vyao vipo na hatimae kukipatia chuo hicho usajili lakini pia na pongezi tele.
Walivyo hawana haya watajidai na kuwaelezea mikakati miingi waliyonayo kumbe wakiwalamba visigo wakaguzi hao na mwisho wasiku wanakuwa wametimiza adhma na malengo walokuwa nayo pasipokujua kuwa wameliangamiza taifa huku ni wapi twaelekea?
Hili limetokea katika chuo kimoja maarufu hapa nchini na wala sina haja ya kukiweka hadharani na chuo hicho mpaka sasa kinaendelea kupeta kwa kula ada nyingi za watanzania masikini na nilipoingia ndani kuona kiwango cha ubora wa elimu kitoacho nilisikitika sana.
Huwezi amini chuo hicho maarufu chenye kuofa kiwango cha dipolama nilikikuta kina madarasa mawili ambayo kimekodisha yakitumiwa na wanafunzi zaidi ya mianne na hata vifaa inasemekana wamekuwa wakilia kila mwaka pasipo mafanio yeyote.
Nikajiuliza masuali mengi sana na katika baadhi ya moja ya jibu nililolipata ni ndio kwamana mapaka sasa tunazalisha wasomi hewa ambao tunawapeleka katika soko la ajira wanashindwa kufanya kazi.
Kwani kumbe huko walikotoka katika hivyo vyuo vyao walishindwa kupata mafunzo yaliyo katika viwango vyenye ubora kwani vyuo hivyo havina uwezo huo hili ni jambo ambalo serikali inapaswa kulitazama.
Sidhani kama serikali itakuwza hilitambui suala hili la hasha! Mnalitambua na kama mlikuwa hamlitambui basi ndio mlitambue sasa kwani watu hawa ndio wanao zidi kudidimiza jitahihada zetu katika suala hili changa.
Sasa hebu tuwaulize ninyi
.
viongozi wa taasisi kama hizi nini dhamira yenu kuyafanya haya? Je madhara yake hamuyaoni kwa hao munaowapotezea muda wao? Au huwa mwajisikiaje pale muwaonapo hao wanafunzi wenu baada ya kupata kazi na kurudi kuwauliza lile ambalo hamkuwapatia pindi walipokuwa katika vyuio vyenu?
Mikopo kila kukicha mabeni yanato tena kwa kuwapatia kipaumbele ninyi wenye mataasisi makubwa mkidhaniwa ndio wenye umuhimu zaidi ako wapi kukopa na kuhakikisha mnatoa elimu iliyo bora?
Serikali, pengine hili linafanywa kwa ushirikiano na baadhi yawatumishi wenu serikalini kwakupatiwa kile wanachoita kitu kidogo na viongozi wa taasisi hizo na hawa nao munapaswa kuwashughulikia kwamujibu wa sheria kwani hatutafika kwa mwenendo huu
Subscribe to:
Posts (Atom)