Mtangazaji wa ITV Samweli Kabendera ameripoti moja kwa moja kutoka Tabora akielezea juu ya tukio hilo, ambalo limetokea muda mfupi uliopita, gazeti moja liliripoti leo kuwa kipindi cha miezi mitatu kilichotangazwa na CCM kwa wanachama wake na viongozi kujivua gamba tayari kimefikia ukomo Hivyo tukio hili inawezekana ndiyo mwendelezo wa CCM kuchukua hatua za kujivua gamba ili kurejesha imani kwa wananchi na wanachama wa chama hicho.
Jul 13, 2011
ROSTAM AZIZI MBUNGE WA IGUNGA AJIVUA GAMBA
Mtangazaji wa ITV Samweli Kabendera ameripoti moja kwa moja kutoka Tabora akielezea juu ya tukio hilo, ambalo limetokea muda mfupi uliopita, gazeti moja liliripoti leo kuwa kipindi cha miezi mitatu kilichotangazwa na CCM kwa wanachama wake na viongozi kujivua gamba tayari kimefikia ukomo Hivyo tukio hili inawezekana ndiyo mwendelezo wa CCM kuchukua hatua za kujivua gamba ili kurejesha imani kwa wananchi na wanachama wa chama hicho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment