Mwenye kofia nyekundu ndiye Mfaume Pastory ambaye kwa sasa anakualika wewe il uweze kuwa mtembeleaji wa blog yake katika kufahamishana yale yote yatakayokuwa yakiendelea ulimwenguni.
Jul 15, 2009
JE UNAWATAMBUA
Mwenye kofia nyekundu ndiye Mfaume Pastory ambaye kwa sasa anakualika wewe il uweze kuwa mtembeleaji wa blog yake katika kufahamishana yale yote yatakayokuwa yakiendelea ulimwenguni.
KARIBU KATIKA ULIMWENGU WA HABARI
Habari za wakati msomaji,nafuraha tele kwa suala zima la mimi na wewe kuweza kuungana pamoja katika ulimgu huu wa habari.
Langu jina ni Mfaume Pastory kutoka Tanzania jijini Dar es salaam pichani niko pamoja na rafiki dada yangu Herieth sote tukiwa ni wanahabari.
Dhamira kubwa nikukujulisha kwamba sasa Mfaume Pastory tayari nina blog ambayo ni www.mfaumepastory.blogspot.com .Karibu
Subscribe to:
Posts (Atom)