Jul 15, 2009

JE UNAWATAMBUA

Baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha habari cha Dar es salaamu nchini Tanzania katika picha ya pamoja mkoni Iringa walipokuwa katika safari kimasomo.

Mwenye kofia nyekundu ndiye Mfaume Pastory ambaye kwa sasa anakualika wewe il uweze kuwa mtembeleaji wa blog yake katika kufahamishana yale yote yatakayokuwa yakiendelea ulimwenguni.

No comments:

Post a Comment